Matangazo

HTML/JavaScript

FAHAMU MAAJABU YA PETE YENYE KITI CHA JADE

MAAJABU MAKUBWA YA PETE YENYE KITO CHA JADE
by maajabu blog
                                                        Kito Hiki Kinaitwa ( Jade )


           Faida za kito cha jade

Mwenye Kuvaa Kwenye Pete Na Akaingia Kwenye Uwanja Wa Vita Mtu Huyo Hatodhurika Hata Na Ncha Ya Panga Yani Mwenye Kuvaa Hatoweza Kukatwa Na Upanga Wala Risasi.

 Pia Mwenye Kuivaa Pete Yenye Kito Cha ( Jade ) Mtu Huyo Akaingia Kwenye Pango Lenye Majini Majini wowote Watamuogopa Na watakimbia ovyo

Pia Mwenye Kutaka Aone Ufalme Wa Majini Basi Akiweke Kito Hiki Chini Ya Mto Ataona Ufalme Wote Wa Majini . Pia Kama Ukiivaa Pete Yenye kito cha Jade Mtu Huyo Atakuwa Na Mahaba Na Kila Mtu hakuna atakayemchukia,akiingia sehemu hata kama kuna wakubwa watu wote hunyamzishwa,atakuwa na mamlaka n.k... 


Vito Hivi Tunavyo ukihitaji wasiliana nasi

No comments

Powered by Blogger.